Akizungumza na waandishi wa habari Oktoba mosi, 2024, Kamishna Mkuu wa TRA, Yusuph Mwenda amesema alipoapishwa na Rais Samia ...
Mwili wa mfanyabiashara wa madini ya ujenzi, David Mollel mkazi wa Kata ya Moivaro, umekutwa ukining’inia kwenye mti juu ya ...
Bunge la Taifa limeanza mchakato wa kumshitaki na kumng’oa madarakani Naibu Rais Rigathi Gachagua, baada ya Spika wa Bunge ...
Wakati maboresho ya daftari la mpigakura yakitarajia kuanza Oktoba 7 hadi 13, 2024, wapiga kura wapya 14,878 wanatarajiwa ...
Mchengerwa amemuagiza Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha, Missaile Mussa kwa kushirikiana na uongozi wa wilaya, kuanza mchakato ...
Fedha hizo ni malipo yaliyopaswa kufanywa kwa wakulima wa korosho wanachama wa Chama cha Msingi cha Ushirika cha Nanyindwa ...
Mfahamu Hassan Nasrallah aliyekuwa kiongozi wa kundi la Hezbollah la nchini Lebanon ambaye jina lake limegonga vichwa vya ...
Wakanda ni dola ya kufikirika Afrika Mashariki, ndani ya mfululizo wa vitabu vya Fantastic Four. Shujaa Black Panther ambaye ...
Katika hali iliyotarajiwa, Iran imeishambulia kwa mabomu Israel usiku wa kuamkia leo Jumatano, Oktoba 2, 2024.
Makishe ambaye amelazwa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini, KCMC amesema baada ya kupata shambulio hilo, alikimbia ...
Mwanza. Wakati ugonjwa wa kichaa cha mbwa ukitajwa kusababisha vifo vya zaidi ya watu 59,000 duniani kila mwaka, Serikali ya ...
Ikiwa leo Oktoba 2, mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini Naseeb Abdul 'Diamond' anasheherekea siku yake ya kuzaliwa akitimiza ...